Pichaz za Birthday Party ya Ommy Dimpoz wakiwemo na mastaa mbalimbali

.
.
Sherehe za birthday nazo zina uzito wake, Unaambiwa msanii Omary Nyembo aka Ommy Dimpoz ambaye usiku wa Sept 13,2015 alishea siku yake ya kuzaliwa na watu mbalimbali wakiwemo mastaa wengi kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva, kiukweli ilipendeza sanae.
Unaweza kucheki pichaz ambazo mtu wako wa nguvu nimekusogezea uzicheki na usipitwe pia.
.
.
.
.
.
.
.
Pichani:Mwanasheria Alberto Msando akiwa na mwigizaji Elizabeth Michael
.
.
.
.
.
.
.
Kushoto, Elizabeth Michael, Ommy Dimpoz na Idris Sultan
.
.
.
.
.
.
.
Ommy Dimpoz akimlisha keki Hamza kutoka Tigo kwenye idara ya muziki
.
.
.
.
.
Ommy Dimpoz akimlisha keki meneja wake, Mubenga
.
Ommy Dimpoz akimlisha keki mwanasheria, Alberto Msando.
DSC_0117
.
Ommy Dimpoz akilishwa keki na Ambwene Yessaya aka A.Y
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Pichani:kulia Mtu wa nguvu akiwa na timu ya Clouds FM (Shadee, Bdozen na Perfect Crispin

 

Mpya kutoka kwa T.I imekupita? ‘ Check, Run it’ imenifikia, itazame video yake hapa!

Baada ya kutengeneza headlines na wimbo wa ‘Private Show’ aliomshirikisha Chris Brown, T.I amerudi na nyingine mpya wiki hii. Wimbo unaitwa ‘Check, Run it’ na kama  video yake bado haijakufikia basi karibu ucheki video hiyo hapa chini.
Share on Google Plus

About Unknown

TEAM TASABA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment