TASABA FOOTBALL TEAM FRIENDLY MATCH TRIP TO MYSORE


Timu ya Mpira wa miguu ya Watanzania Bangalore (TASABA) ilielekea Mysore asubuhi ya Jumamosi kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Timu ya Mpira wa  Miguu ya watanzania waishio Mysore.

Mechi iliisha kwa matokeo ya sare ya 1 - 1....

Uongozi wa TASABA unatoa shukrani kwa wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine kufanikisha mechi hii ya kirafiki. 

Shuka Chini kuona picha zaidi.....




























Tungependa kusikia Maoni Yako [Tuandikie]
Share on Google Plus

About Unknown

TEAM TASABA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment