Lionel Messi atangazwa kuwa mchezaji bora wa Ulaya 2014/2015.
Hatua ya upangwaji makundi ya UEFA yaliambatana sambamba na kumchagua mchezaji bora wa mwaka wa Ulaya, waliyokuwa wanawania tuzo hiyo ni Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Luis Suarez.
Lionel Messi ametangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya kwa mwaka 2014/2015, hiyo ni kauli ya Messi baada ya kutangazwa mshindi.
“Ni furaha
kwa wote hii ni kwa ajili ya wachezaji wenzangu wote kwa sababu bila
ushirikiano mimi nisingekuwa hapa hii tuzo ni kwa ajili ya timu
nimefurahi sana”>>> Messi
Haya ndio makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya 2015/2016
Baada ya kuanza kwa Ligi Kuu mbalimbali
barani Ulaya, August 27 ni siku ambayo yanapangwa makundi ya klabu
bingwa Ulaya kwa msimu wa 2015/2016. Makundi hayo tayari yamepangwa
katika droo iliyofanyika Monaco Ufaransa.
Hafla ya upangwaji makundi imehudhuriwa na wachezaji kadhaa maarufu wa soka akiwemo Andre Iniesta, Lionel Messi, Cristiano Ronaldo, Luis Suarez na wengine wengi. Nakusogeza karibu na makundi yote nane ya UEFA 2015/2016.
Fainali ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE itachezwa mwezi Mei 2016 Sansiro Italia
Kundi A
- PSG
- Real Madrid
- Shakhtar Donetsk
- Malmo
- PSV
- Man United
- CSK Moskva
- Wolfsburg
- Benfica
- Atletico
- Galatasaray
- Astana
Kundi D
- Juventus
- Man City
- Sevilla
- Monchengladbach
- FC Barcelona
- Leverkusen
- Roma
- Bate
- FC Bayern
- Arsenal
- Olympiacos
- Dinamo Zagreb
- Chelsea
- Porto
- Dynamo Kyiv
- M Tel-Aviv
- Zenit
- Valencia
- Lyon
- Gent
0 comments :
Post a Comment