TASABA BEST SPORT NEWS TODAY

Lionel Messi atangazwa kuwa mchezaji bora wa Ulaya 2014/2015.

Hatua ya upangwaji makundi ya UEFA yaliambatana sambamba na kumchagua mchezaji bora wa mwaka wa Ulaya, waliyokuwa wanawania tuzo hiyo ni Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Luis Suarez.
messiwin
Lionel Messi ametangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya kwa mwaka 2014/2015, hiyo ni kauli ya Messi baada ya kutangazwa mshindi.
485392272
“Ni furaha kwa wote hii ni kwa ajili ya wachezaji wenzangu wote kwa sababu bila ushirikiano mimi nisingekuwa hapa hii tuzo ni kwa ajili ya timu nimefurahi sana”>>> Messi

Haya ndio makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya 2015/2016

Baada ya kuanza kwa Ligi Kuu mbalimbali barani Ulaya, August 27 ni siku ambayo yanapangwa makundi ya klabu bingwa Ulaya kwa msimu wa 2015/2016. Makundi hayo tayari yamepangwa katika droo iliyofanyika Monaco Ufaransa.
123
Hafla ya upangwaji makundi imehudhuriwa na wachezaji kadhaa maarufu wa soka akiwemo Andre Iniesta, Lionel Messi, Cristiano Ronaldo, Luis Suarez na wengine wengi. Nakusogeza karibu na makundi yote nane ya UEFA 2015/2016.
54
Fainali ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE itachezwa mwezi Mei 2016 Sansiro Italia
Kundi A
  1. PSG
  2. Real Madrid
  3. Shakhtar Donetsk
  4. Malmo
Kundi B
  1. PSV
  2. Man United
  3. CSK Moskva
  4. Wolfsburg
Kundi C
  1. Benfica
  2. Atletico
  3. Galatasaray
  4. Astana
Kundi D
  1. Juventus
  2. Man City
  3. Sevilla
  4. Monchengladbach
Kundi E
  1. FC Barcelona
  2. Leverkusen
  3. Roma
  4. Bate
Kundi F
  1. FC Bayern
  2. Arsenal
  3. Olympiacos
  4. Dinamo Zagreb
Kundi G
  1. Chelsea
  2. Porto
  3. Dynamo Kyiv
  4. M Tel-Aviv
Kundi H
  1. Zenit
  2. Valencia
  3. Lyon
  4. Gent

 


 

Share on Google Plus

About Unknown

TEAM TASABA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment