TASABA YALIO JIRI MDA SI MREFU

CCM waanguka kura za maoni, Makongoro kujitoa CCM? Said Fella na Yusuph Manj Udiwani?

monday1
Magazeti ya August 3 2015 yako mtaani tayari na vichwa vyake vikubwa vya habari, kazi yangu ni kukusogezea zile zote kubwa kubwa zinazoweka vichwa vya habari magazetini…
CCM waanguka kura za maoni, Rostam Aziz agonga mwamba ajisalimisha kwa Magufuli, Makada wa CCM ngumi nje nje na Makongoro Mahanga ajingo’a CCM na kujiunga na CHADEMA.
Mawaziri wa 5 CCM waanguka kwenye kura za maoni za kuwania Ubunge kupitia Chama hicho, wakiwemo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe na Manaibu Waziri 4.
Kamati Kuu CHADEMA siri nzito na wadau wa 2 wa michezo na burudani Tanzania Yusuph Manji na Said Fella waibuka videdea katika vinyanganyiro vya Udiwani  katika jimbo jipya la Mbagala jijini Dar.

 

Share on Google Plus

About Unknown

TEAM TASABA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment