Bongo movie vs viongozi wa Simba SC, watazame kina JB kwenye hiki kipisi cha video
August 8 2015 ilikua ni Simba Dayndani
ya jiji la Dar es salaam ambapo kulikua na matukio mengi ya
kuikamilisha hii siku kubwa kwenye club ya soka ya Tanzania ya Simba SC
kwenye uwanja wa Taifa ambapo miongoni mwa hayo matukio kulikua na
mechi za Simba vs SC Villa ya Uganda na mechi ya viongozi wa Simba vs
Wasanii wa bongo movie.
0 comments :
Post a Comment