TASABA NEWS TODAY

Mapokezi ya Edward Lowassa Zanzibar leo kwenye hizi picha 16

Screen Shot 2015-08-17 at 4.29.58 PMSafari ya Mgombea Urais wa UKAWA, Edward Lowassa kusaka Wadhamini kwenye Mikoa mbalimbali Tanzania imekamilika tayari August 17 2015, kilele cha Safari hiyo ni Visiwani Zanzibar ambapo umefanyika Mkutano eneo la Kibanda Maiti.
Pichaz zote kutoka Unguja nimezipata mapema mapema mtu wangu, unaweza kuona kwenye hizi pichaz jinsi ambavyo Zanzibar imempokea Mgombea huyo pamoja na Timu ya Viongozi wa UKAWA.
Screen Shot 2015-08-17 at 4.30.11 PM
.
Screen Shot 2015-08-17 at 4.30.24 PM
.
Screen Shot 2015-08-17 at 4.30.33 PM
.
Screen Shot 2015-08-17 at 4.30.40 PM
.
Screen Shot 2015-08-17 at 4.30.49 PM
.
Screen Shot 2015-08-17 at 4.30.57 PM
Khamis Mgeja akizungumza katika mkutano huo.
Screen Shot 2015-08-17 at 4.31.05 PM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.31.12 PM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.31.20 PM
James Mbatia akiongea na watu wa Zanzibar kwenye Mkutano eneo la Kibanda Maiti.
Screen Shot 2015-08-17 at 4.31.28 PM
Seif Sharif Hamad nae akihutubia kwenye Mkutan huo.
Screen Shot 2015-08-17 at 4.31.35 PM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.31.41 PM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.31.47 PM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.31.56 PM
Ukafika wakati wa Mgombea huyo Urais, Edward Lowassa kuongea na Wazanzibar.
Screen Shot 2015-08-17 at 4.32.05 PM

 

Share on Google Plus

About Unknown

TEAM TASABA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment