Nimeyapata matokeo ya uchaguzi wa Wabunge Bumbuli #CCM
Yamenifikia matokeo ya uchaguzi wa Wabunge kupitia Chama Cha Mapinduzi jimbo la Bumbuli,ambazo zimetolewa na Ramadhan Mahanyu Mkurugenzi wa Uchaguzi wilaya ya Lushoto.
Nimeambiwa pia kura zilizopigwa ni 20,522 kati ya hizo 40 ziliharibika na 20,482 ni kura halali.
Hii ndio zawadi ya harusi ambayo Cristiano Ronaldo anamnunulia wakala wake
Ni zawadi gani ya ndoa unaweza kumnunulia wakala namba moja wa wachezaji duniani?
‘Super agent’ Jorge Mendes, wakala wa Jose Mourinho, James Rodriguez, Nani, Falcao, Angel Di Maria, Cristiano Ronaldo – anatarajia kumuoa mchumba wake wa siku nyingi – Sandra Barbosa huko nchini Ureno.
Habari za Ronaldo kumzawadia Mendes zilianza kuripotiwa na mtandao wa Noticia.
Kwa mujibu wa ripoti, Ronaldo anatarajia kutumia €50m kwa ajili ya kununua kisiwa hicho.
Ronaldo won’t be the only footballer in attendance at the wedding, as he’ll be joined by James Rodriguez, Pepe and Radamel Falcao.
Chelsea manager Jose Mourinho is also set to be at the event, along with Sporting CP coach Jorge Jesus.
Other leading football personalities invited include Florentino Perez, Roman Abramovich, Peter Lim and Joan Laporta.
Inasemekana ni Wema Sepetu na Nuh Mziwanda kwenye hizi dakika 9.
Nuh Mziwanda ni mpenzi pia wa Shilole,Sauti hiyo pia imeifikia millardayo.com unaweza bonyeza play hapo chini kusikiliza.
Di Maria ndio anaondoka hivyo…. bye bye Manchester United
Sio zaidi ya siku tatu zimepita toka kocha wa Manchester United Louis van Gaal athibitishe kutokujua wapi alipo kiungo wa Kiargentina Angel Di Maria baada ya kuulizwa swali na waandishi wa habari juu ya kutoonekana kwake kikosini kwa maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Uingereza.
Kutoonekana kwake kikosini inadaiwa ni ishara ya Di Maria kushinikiza uhamisho wake wa kwenda katika klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa baada ya kuhusishwa kujiunga nayo kwa muda mrefu.
August 2 taarifa mpya zimetoka zinazobainisha mpango wa Di Maria kuhamia katika klabu ya PSG
kuwa klabu hizo mbili zimefikia makubaliano ya kuuziana kiungo huyo kwa
pound milioni 44.5 na atafanya vipimo vya afya jumapili ya August 2
kabla ya kusaini mkataba na klabu hiyo.
Angel Di Maria akiwa na Manchester United amecheza mechi 32 katika mashindano yote na kufunga magoli 4 na assist 12, kocha wa klabu ya PSG Laurent Blanc amethibitisha klabu yake kuwinda saini ya Di Maria kwa zaidi ya misimu miwili na atafanyiwa vipimo vya afya Qatar.
0 comments :
Post a Comment