TASABA ENTERTAINMENT

Hivi ndivyo Stamina alivyotoa Burudani ya nguvu kwa watu wake Morogoro… (Pichaz)

Screen Shot 2015-08-06 at 1.33.53 PM
Vodacom Tanzania wameandika headlines nyingine Morogoro kwa watu wao wa nguvu kabisa, japo wanatoa huduma ya Mawasiliano lakini bado kuna mengine mazuri kabisa ambayo Vodacom huwa inawasogezea watu wake ikiwemo burudani.
Safari hii ilikuwa elimu ya ‘M-Pawa Tumekufikia’ ambapo wateja wao wameelimishwa kuhusiana na uzuri wa huduma hiyo inayowawezesha kujiwekea akiba na kujipatia mikopo nafuu kwa urahisi zaidi.
Screen Shot 2015-08-06 at 1.34.04 PM
Stamina atoa burudani kwa wakazi wa Morogoro
Baada ya elimu ni burudani, YES !! Mtu wa mji kasoro bahari, Rapper Stamina alipanda kwenye stage na kutoa burudani nzito kabisa watu wakaenjoy..!!

Screen Shot 2015-08-06 at 1.34.13 PM

 

Zamu ya Mtanzania Ernest Napoleon

Ernest NapoliErnest Napolion ni Mtanzania ambaye amethubutu na akaweza japo hajafika, alikua mtangazaji wa EATV mwanzoni mwa miaka ya 2000 na baadae akaondoka Tanzania, kakaa Marekani na akachukua huu ujuzi, historia yake imenivutia sana.

 

Share on Google Plus

About Unknown

TEAM TASABA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment