HISTORY OF TASABA AND LEADERS WHO WERE IN CHARGE

HISTORIA YA TASABA; kwa ufupi TASABA ilianzishwa hapo awali na Wanafunzi wa Kitanzania waishio Bangalore,India. Ambapo mmoja wa watanzania alipotea kwa mda mrefu na amna Tanzania yeyote alijua mahali alipo potelea ndipo wananchi wa Tanzania wakaona kuunda Uongozi wa TASABA ambao kirefu chake ilikuwa TANZANIAN STUDENT ASSOCIATION IN BANGALORE,INDIA.
 HII NI LOGO YA TASABA

TASABA imetawaliwa na viongozi 8 tangu 2008-2016,ambapo ulikuwa uongozi wa viongozi wa awamu 7, ambao viongozi hao walikuwa.

BARAKA ABDALLAH KANGE,   2008-2009,Alikuwa kiongozi wa TASABA wa kwanza katika list yangu ya viongozi walio tawala watanzania wahishio Bangalore,India.


FIDELIS MSOMEKELA  2009-2010, Ni kiongozi alie kuwa msaada mkubwa kwa viongozi wengi walio kuja chini yake kama mlezi wa chama, mpaka alipo ondoka 2013,Bangalore, India.

JUMANNE R MTAMBALIKE, 2010-2011. Alikuwa kiongozi aliyekuwa mchapa kazi na aliejitaidi sana kuwa weka watanzania pamoja na kufanikisha mengi alioaidi pindi akigombania nafasi hiyo ya urais TASABA.
 
 
PRES:JUMANNE R MTAMBALIKE
 
 
ANASE STEPHEN,2011-2012. Alikuwa kiongozi mwenye busara,mkarimu pia alikuwa akishauri mambo mazuri kwa wananchi wake na alianza kuwa makamu wa rais  na mwaka uliofuatia alipanda kuwa rais wa tasaba.
VICE PRES:ANASE STEPHEN 


HENRY MNDEME,2012-2013. Alikuwa kiongozi mwenye maadili na busara katika maamuzi pia alikuwa akijituma sana katika utendaji wa kazi
 
KELVIN JULIUS AND VUMA,2013-2015 MAY,Hawa ni viongozi ambao Kelvin alikuwa rais akatumikia utawala na baada ya muda fulani alijiuzuru ndipo makamu wake wa Urais alichukua madaraka na kumalizia awamu yake ya urais. So ni utawala wa viongozi wawili na ndio uongozi uliopitiliza muda kulingana na katiba hila ulikuwa imara na wenye changamoto nyingi katika utendaji wa utawala,ila walifanya vizuri katika utandaji wao kwa wanamchi wao wanatasaba.
 
 Kelvin's 
 
 
 

 













PROSPER WILFREM MWAKITWANGE 2015-2016, He is the current PRESIDENT of TASABA. Alikuwa makamu wa urais 2012-2013, wakati wa utawala wa Henry Mndeme, ambao wananchi waliona kazi yake na utawala uliowafuata wakamteuwa rais wa TASABA, kuna matumaini mengi biyana ya watanzania kwamba kutakuwa na mabadiliko katika utendaji kutokana uzoefu na Utendaji wake wa awali alipokuwa makamu wa urais,TASABA.
 
Hawa ndio  waliowai kuwa marais TASABA, 
 
TASABA imepitia changamoto mbali mpaka kufikia hapa ila Ubalozi wa Tanzania, DELH,India. umekuwa mstari wa mbele kuwatia moyo wana TASABA, katika mambo mbali mbali.  
Hii ni historia fupi ya TASABA, NA UTAWALA WOTE WA TASABA.
Share on Google Plus

About Unknown

TEAM TASABA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment